Wananchi wa wilaya ya Momba pamoja na maofisa mbalimbali wakianza kuandaa msingi wa kitoa cha polisi cha Momba katika makao makuu ya wilaya Chitete Mkoani Songwe Agosti 23, 2016.
Saturday, March 14, 2015
MOMBA
Saturday, January 24, 2015
Kapu la asili la Wanyakyusa la kubebea mahindi pindi wanawake wanavyokwenda msibani kama sehemu ya mchango kwa wafiwa.
Kimondo ni moja ya vivutio muhimu hapa nchini, kinapatikana Ndolezi wilayani Mbozi mkoani Mbeya
Mbozi Online TV ni Televisheni inayokuletea habari mbalimbali na matukio yanayo tokeo wilayani Mbozi, Mkoani Mbeya, Tanzania na Dunia nzima kwa ujumla ikiwa imelenga kukuhabarisha habari za michezo,siasa,uchumi na kijamii.